Wanyika afunguka kuhusu maandalizi ya tamasha ya Angélique Kidjo katika Sydney Opera House

Angelique Kidjo akiwa jukwaani.jpg

Gwiji wa Muziki kutoka Benin Bi Angélique Kidjo ana tarajiwa kuwa na tamasha kubwa ndani ya Sydney Opera House usiku wa Jumatano 6 Machi 2024.


Katika mahojiano maalum na SBS Swahili, afisa mwenye dhamana ya kuboresha uhusiano kati ya Sydney Opera House na jumuiya mbali mbali Bi Wanyika Mshila, alitueleza kuhusu maandalizi ya tamasha hiyo.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share